Jeremiah 46:14

14 a“Tangaza hili katika Misri, nawe ulihubiri katika Migdoli,
hubiri pia katika Memfisi
Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.
na Tahpanhesi:
Ni mji katika Misri.

‘Shikeni nafasi zenu na mwe tayari,
kwa kuwa upanga unawala wale wanaokuzunguka.’
Copyright information for SwhNEN